Surprise Me!

Huzuni yatanda baada ya Mwalimu kufariki Dunia akiwa Darasani akisimamia mtihani

2018-09-09 14 Dailymotion

MWALIMU wa Shule ya Msingi Kisumba, Kalambo mkoani Rukwa, Lusekelo Mwakyesa (47), amefariki dunia akiwa darasani wakati akisimamia mtihani wa darasa la saba