Wenyeji Wa Deep Sea Wangali Wanaishi Kwa Baridi Baada Ya Kubomolewa
2021-10-03 0 Dailymotion
Mbunge Wa Westlands Timothy Wanyonyi Amesema Atawasilisha Malalamishi Bungeni Iwapo Utaratibu Ulifuatwa Kabla Ya Kuwafurusha Wenyeji Wa Mtaa Wa Mabanda Wa Deep Sea.