Surprise Me!

Watu 4 Wafariki Baada Ya Kugbugia Pombe Haramu Nakuru

2021-12-06 3 Dailymotion

Watu Wanne Wamefariki Baada Ya Kunywa Pombe Haramu Katika Kijiji Cha Jawatho Huko Njoro Kaunti Ya Nakuru. Maafa Haya Yamejiri Miezi Kadhaa Baada Ya Watu Wengine 30 Kufariki Baada Ya Kubugia Pombe Yenye Sumu Katika Eneo Hilo.